📍Mtwara
🗓️ Novemba 22, 2023.
Picha 📸
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg. Faki Raphael Lulandala (MNEC)* ametembelea Soko la Mchinga _ Mkanaledi Lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara kusikiliza kero na changamoto za Machinga.
Aidha amekagua ofisi mpya za Soko la Machinga zinazojengwa na Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara.
Pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu ameelekeza Umoja wa Vijana wa CCM nchi nzima kupitia Mkoa wa Mtwara kuhakikisha wanarejea kwa makundi ya vijana kurudisha majibu ya kero walizochukuwa kutoka kwa vijana.
#KaziIendelee
#UVCCMKazini
#KulindaNaKujengaUjamaa
#SisiNaMamaMleziWaWana
Imetolewa na;
*Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa*
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Topics: News
About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
Related Posts
MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE
Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara y...Read more »
24Nov2023HII HAPA TAARIFA YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI 2023
22Nov2023DKT. BITEKO AKAGUA MAJENGO YA WIZARA YA NISHATI; SERA, URATIBU NA BUNGE MJI WA SERIKALI- MTUMBA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amekagua m...Read more »
22Nov2023Gestational Diabetes
👣Hiki ni kisukari wanachopata wanawake wakati wanapokuwa wajawazito . 👣Baad...Read more »
22Nov2023𝗞ukojoa mara kwa mara
Jee, umekuwa na tabia ya kwenda kupata haja ndogo mara kwa mara? Kama jibu ni ndiyo , ba...Read more »
22Nov2023Hasira
Hasira zinaweza kuwa ni sababu ya mwili kukosa nguvu.💁🏽♀️ Kutoona vizuri : Ugonjwa hu...Read more »
22Nov2023
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Articles
-
MTUNZI NA MWANDISHI-MWL YUSUPH ABEL NG'AHALA. Sim...
MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE
Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...
Popular Posts
-
1.Kufanya mapenzi katika mtindo (style) ambayo...
-
WENYEVITI 400 na wajumbe 130 wa serikali za mitaa mkoa wa...