» » MACHINGA NI VIJANA WETU" - KATIBU MKUU UVCCM CDE. LULANDALA


๐Ÿ“Mtwara
๐Ÿ—“️ Novemba 22, 2023.

Picha ๐Ÿ“ธ
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg. Faki Raphael Lulandala (MNEC)* ametembelea Soko la Mchinga _ Mkanaledi Lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara kusikiliza kero na changamoto za Machinga.

Aidha amekagua ofisi mpya za Soko la Machinga zinazojengwa na Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara.

Pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu ameelekeza Umoja wa Vijana wa CCM nchi nzima kupitia Mkoa wa Mtwara kuhakikisha wanarejea kwa makundi ya vijana kurudisha majibu ya kero walizochukuwa kutoka kwa vijana.

#KaziIendelee 
#UVCCMKazini 
#KulindaNaKujengaUjamaa 
#SisiNaMamaMleziWaWana

Imetolewa na; 
*Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa*

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...