» » MAPOKEZI YA KATIBU MKUU UVCCM NDG. LULANDALA MKOANI MTWARA


๐Ÿ“Mtwara. 
๐Ÿ—“ Novemba 22, 2023.

Picha ๐Ÿ“ธ
Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg. Faki Raphael LULANDALA (MNEC)* mara baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara Tarehe 22 Novemba, 2023. 

Ndg. Lulandala yupo mkoani Mtwara ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake ya kutembelea Makundi ya Vijana na Kufanya Kikao Kazi na Watendaji wa UVCCM Wilaya na Mikoa ya Mtwara na Lindi.

#KaziIendelee 
#UVCCMKazini 
#KulindaNaKujengaUjamaa 
#SisiNaMamaMleziWaWana

Imetolewa na; 
*Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa*

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...