» » Boko Haram ya wateka Maafisa wa kampuni mafuta Nigeria


Image captionWapiganaji wa Boko haram

Kampuni ya mafuta ya Nigeria N-N-P-C, inasema kuwa watafiti 10 wa jiologia, wametekwa nyara na washukiwa wa kundi la Boko Haram

Wanajiolojia hao na masoroveya wa Chuo Kikuu cha Maiduguri, waliviziwa na kutekwa nyara karibu na kijiji cha Jibi kilichoko katika jimbo la Borno, Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Walikuwa wamepewa kandarasi ya kutafuta mafuta karibu na ziwa Chad.

Taarifa nyingine kutoka maeneo hayo, inasema kuwa kuna hofu wameuawa, lakini hilo halijathibitishwa.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles