» » ''Trump anajaribu kujenga hadhi ya Urusi''


Image captionAliyekuwa jasusi James Clapper

Aliyekuwa mkurugenzi wa maswala ya kiinteligensia, James Clapper anasema wakati mwingine inaonekana kama raisi Trump anajaribu kuijenga Urusi kuwa taifa lenye hadhi kubwa tena.

Alikuwa akijibu swali alililoulizwa wakati wa kongamano la kiusalama lililofanyika huko Aspen,Colorado, iwapo Raisi Trump analipa uzito swala la uhusioano baina ya Marekani na Urusi.

Jenerali huyo mstaafu akajibu kua ilikua vigumu kuuleza bayana.

Jenerali Clapper ameongeza Urusi itakua daima ikifungamanishwa na jinsi ilivyo uathiri uchaguzi wa mwaka jana wa Marekani.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles