» » ''Trump anajaribu kujenga hadhi ya Urusi''


Image captionAliyekuwa jasusi James Clapper

Aliyekuwa mkurugenzi wa maswala ya kiinteligensia, James Clapper anasema wakati mwingine inaonekana kama raisi Trump anajaribu kuijenga Urusi kuwa taifa lenye hadhi kubwa tena.

Alikuwa akijibu swali alililoulizwa wakati wa kongamano la kiusalama lililofanyika huko Aspen,Colorado, iwapo Raisi Trump analipa uzito swala la uhusioano baina ya Marekani na Urusi.

Jenerali huyo mstaafu akajibu kua ilikua vigumu kuuleza bayana.

Jenerali Clapper ameongeza Urusi itakua daima ikifungamanishwa na jinsi ilivyo uathiri uchaguzi wa mwaka jana wa Marekani.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...