» » Wahamiaji zaidi ya 40 wamekufa kutokana na kiu katika Jangwa la Sahara

Sahara

Image captionWahamiaji zaidi ya 40 wamekufa kutokana na kiu baada ya gari lao kuharibika katika Jangwa la Sahara kaskazini mwa Niger
Wahamiaji zaidi ya 40 wamekufa kutokana na kiu baada ya gari lao kuharibika katika Jangwa la Sahara kaskazini mwa Niger.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu limeseama kuwa watu sita waliosalimika ni wanawake ambao walipata msaada baada ya kutembea katika kijiji cha mbali.
Taarifa zinasema, miongoni mwa waliokufa ni pamoja na watoto.
Vyombo vya habari vya Nigeria vimeripoti kuwa miongoni mwa wahamiaji hao wametoka nchini Ghana na Nigeria ambapo walikuwa wanajaribu kuingia Libya.
Licha ya kuwa hamna muwakilishi kutoka taifa lolote baina ya hayo mawili amabae amefika katika eneo hilo.
Sahara
Image captionWahamiaji wamekufa kutokana na kiu
Njia inayotoka Niger kuelekea Libya ni miongoni mwa njia kuu ambayo watu kutoka Afrika Magharibi huitumia kuvuka bahari ya Mediterania ili kuingia Bara la Ulaya.



Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...