» » Utafiti: Trump na Sera zake hana umaarufu duniani

Ulimwengu wa rais Donald Trump wa Marekani

Image captionUlimwengu wa rais Donald Trump wa Marekani
Utawala wa rais Donald Trump umekuwa na athari kubwa kuhusu vile ulimwengu unavyoiona Marekani kulingana na utafiti uliofanywa.
Utafiti huo uliofanywa na shirika la Pew Research Center uliwahoji zaidi ya watu 40,000 katika mataifa 37 mwaka huu.
Ulibaini kwamba rais wa Marekani na sera zake hana umaarufu duniani.
Utafiti huo unaonyesha ni mataifa 2 kati ya 37 ambayo yanampendelea rais Obama ikilinganishwa na mtangulizi wake Barrack Obama: Israel na Urusi.
Lakini ripoti hyo inaonyesha kwamba watu wengi wanahisi kwamba uhusiano wao na Marekani hautabadilika katika kipindi cha miaka ijayo.
Vitu muhimu vilivyobainika katika utafiti huo uliofanywa kati ya tarehe 16 Februari na 8 Mwezi Mei vinashirikisha: Raia kuwa na imani chache na Trump ikilinganishwa na Obama.
Watu walihojiwa mwishoni mwa utawala wa rais Obama , na baada ya kuanza kwa utawala wa Trump waliulizwa iwapo walihisi wana imani kwamba rais Trump atafanyia ulimwengu mambo wanayoyataka ya ulimwengu.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles