» » Rais wa Afghanistan alaani shambulizi lililouwa watu 90


Shambulizi hili linatajwa kuwa kubwa zaidi nchini humo
Image captionShambulizi hili linatajwa kuwa kubwa zaidi nchini humo
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameelezea shambulizi la bomu katika mji mkuu Kabul kama uhalifu dhidi ya ubinaadam.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres pia amelaani shambulizi hilo lililouwa watu 90.
Zaidi ya watu 400 walijeruhiwa.
Dereva wa BBC Mohammed Nazir, ni miongoni mwa waliouawa.
António Guterres pia amelaani kitendo hicho
Image captionAntónio Guterres pia amelaani kitendo hicho
Polisi nchini humo wanasema kuwa kundi la mtandao wa Haqqani ambalo lina uhusiano na Taliban linahusika katika tukio hilo likishrikiana na Pakistan.
Taliban na Pakistan kwa pamoja wamekanusha kuhusika.



Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...