» » Rais Assad ahudhuria ghafla sala za Eid mjini Hama

Rais Assad

Image captionRais Assad
Rais wa Syria, Bashar al-Assad, amefanya ziara ya ghafla isiyotarajiwa nje ya mji mkuu wa nchi hiyo Damascus, alikohudhuria maombi ya Eid, katika mji wa Hama, zaidi ya kilomita 200 kaskazini mwa nchi hiyo.
Ni sehemu ya mbali zaidi kuwahi kusafiri, ndani ya Syria, tangu mapigano yalipoanza nchini humo miaka 6 iliyopita.
Runinga ya nchi hiyo, ilipeperusha picha ya Rais Assad, akisali ndani ya msikiti mmoja mkubwa mjini Hama nyumba ya imamu wa msikiti huo, ndani ya umati mkubwa wa waumini wengine.
Ziara hiyo ya Assad inatukia wakati ambapo wanajeshi wa serikali yake, wakiungwa mkono na ndege za kijeshi za Urusi, wakiendelea kupata nguvu dhidi ya makundi ya waasi.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...