» » Yemen inakabiliwa mlipuko mbaya wa kipindupindu

Hakuna sehemu nchini Yemen ambayo haijaathirika na ugonjwa wa kipindupindu

Haki miliki ya pichaEPA
Image captionHakuna sehemu nchini Yemen ambayo haijaathirika na ugonjwa wa kipindupindu
Shirika la Afya Duniani WHO na lile la Umoja wa Mataifa linalowashughulikia watoto-UNICEF, yanasema kuwa, taifa la Yemen kwa sasa linakabiliwa na mlipuko mmbaya sana wa ugonjwa wa kipindupindu, kuwahi kushuhudiwa duniani.
Kwa mjibu wa Umoja wa Mataifa, kuna zaidi ya visa laki mbili za ugonjwa huo nchini humo.
Zaidi ya watu elfu 13 wamefariki kufikia sasa.
Watoto ndio walioathirika pakubwa na kipindupinduHaki miliki ya pichaEPA
Image captionWatoto ndio walioathirika pakubwa na kipindupindu
Kuenea kwa ugonjwa huo, kumetokana na kuporomoka kwa huduma za afya, baada ya muda mrefu wa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen.
Umoja wa mataifa sasa unatoa wito kwa mamlaka ya nchi hiyo, kuwalipa wafanyikazi wa afya wapatao elfu 30, mafao yao, baada ya kukaa bila mshahara kwa miezi 10 sasa.
Hospitali zimelemewa na idadi kubwa ya wanaougua ugonjwa wa kipindupinduHaki miliki ya pichaEPA
Image captionHospitali zimelemewa na idadi kubwa ya wanaougua ugonjwa wa kipindupindu

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...