Shalom mpendwa wangu leo nimeona nikuletee hasara za kuchagua mume hasa wanawake wa kizazi hiki kabla sijakupa hasara ngoja nikupe *SIRI* kubwa ya wanaume wa kizazi hiki awe ameokoka ama ajaokoka wanaume Wanaume wa siku hizi wamebadilika sana hawaoi hovyo siku hizi wanaume wamekuwa makini sana
*SIRI NO*1. *Wanaume siku hizi hawaoi mwanamke asiyejishughulisha* na kitu chochote yaan yupo yupo tu hana uwezo wa kuingiza pesa
*SIRI NO*2. *Hawaoi mwanamke anayejilemba mnoo* anaependa anasa katoboa sikio mara tatu katoboa pua katoboa kideve wengne hata midomo kope za bandia kucha za bandia nywele za bandia kuchonga nyusi n.k.
*SIRI NO*3. *Hawaoi mwanamke anayevaa hovyo* kama ulitegemea unavaa nguo fupi ndio upendwe basi imekula kwako watakuchezea na kukuacha tu
*SIRI NO*4. *Hawaoi mwanamke aliyezaa nyumban* hii imekuwa pigo kubwa sana kwa wanawake wengi waliojifungulia nyumban wanaume wengi wa siku hizi wanaogopa majukumu sana kulea watoto wasio wa kwao badala yake wamekuwa wakiwachezea nakuwaacha tena
*SIRI NO* 5. *Hawaoi wanawake wazur waliopitiliza* najua ni ngumu kuamin ila hata wewe mwanamke unajua kuwa wapo wazur kukuzid wewe ila hao wanawake wazur hawafai kuwa wake za watu kwa sababu ya uzur wao
*SIRI NO*1. *Wanaume siku hizi hawaoi mwanamke asiyejishughulisha* na kitu chochote yaan yupo yupo tu hana uwezo wa kuingiza pesa
*SIRI NO*2. *Hawaoi mwanamke anayejilemba mnoo* anaependa anasa katoboa sikio mara tatu katoboa pua katoboa kideve wengne hata midomo kope za bandia kucha za bandia nywele za bandia kuchonga nyusi n.k.
*SIRI NO*3. *Hawaoi mwanamke anayevaa hovyo* kama ulitegemea unavaa nguo fupi ndio upendwe basi imekula kwako watakuchezea na kukuacha tu
*SIRI NO*4. *Hawaoi mwanamke aliyezaa nyumban* hii imekuwa pigo kubwa sana kwa wanawake wengi waliojifungulia nyumban wanaume wengi wa siku hizi wanaogopa majukumu sana kulea watoto wasio wa kwao badala yake wamekuwa wakiwachezea nakuwaacha tena
*SIRI NO* 5. *Hawaoi wanawake wazur waliopitiliza* najua ni ngumu kuamin ila hata wewe mwanamke unajua kuwa wapo wazur kukuzid wewe ila hao wanawake wazur hawafai kuwa wake za watu kwa sababu ya uzur wao
*Hizo ni baadhi ya sababu kubwa 5 za wanaume wa kizazi hiki*
sasa tuje kwenye hasara za wanawake kuchagua wanaume wa wa *KUWAOA*
sasa tuje kwenye hasara za wanawake kuchagua wanaume wa wa *KUWAOA*
*HASARA* 1. *Unataka mwanaume mzuri mtanashati*
mwanaume mtanashati na mzur anafaida na hasara zake ila hasara ni kubwa kuliko faida akiwa mzur jua atukusumbua maana yeye mzuri ana title kwenye kadamnasi
*HASARA* 2. *Mwanaume mwenye PESA*
dada ukitaka mwanaume mwenye pesa hakikisha na wewe unazo la sivyo ndoa utaikimbia mwanaume akiwa na pesa anakuwa na kiburi sana anaweza fanya chochote anachojiskia kufanya MUDA wowote maana anakibur cha pesa, 99 asilimia ya wanaume wenye pesa huwa hawawez kutulia na mwanamke mmoja kazi yao ni kubadili mabint usiku na mchana
*Hasara 3*
*Mwanaume mwenye kazi*
hawa wanaume pia hawatofautian na wale wenye pesa tabia zao znaingiliana ila hawa kwenye kazi zao huwa wanakutana na watu weng wazur kukuzid ww na hasara
*HASARA*4. *Wanaume wenye majina*
kwenye kund hili hawa ndio wanaongoza kwa kukosa uaminifu kwanzia mahusiano hadi kwenye ndoa zao hasa waimbaji, wanamuzik,waandishi wa habar mitume na manabii pamoja na wachungaji majina yao makubwa huwasukuma kuwa kiburi na kujilimbikizia idadi kubwa ya wanawake
*HASARA* 5. *Wanaume viongozi* hawa ndio wabaya kuliko maana viongozi wengi hutumia madaraka yao vibaya ili kupata wanachokihitaji hasa Makazini ukienda kuomba kazi boss atataka kulala na ww ndio upate kazi Pia viongozi wanakundi kubwa la watu nyuma yao hivyo huwapa kiburi sana cha kufanya wanachojiskia maana wanaowazunguka ni wengi zaid
mwanaume mtanashati na mzur anafaida na hasara zake ila hasara ni kubwa kuliko faida akiwa mzur jua atukusumbua maana yeye mzuri ana title kwenye kadamnasi
*HASARA* 2. *Mwanaume mwenye PESA*
dada ukitaka mwanaume mwenye pesa hakikisha na wewe unazo la sivyo ndoa utaikimbia mwanaume akiwa na pesa anakuwa na kiburi sana anaweza fanya chochote anachojiskia kufanya MUDA wowote maana anakibur cha pesa, 99 asilimia ya wanaume wenye pesa huwa hawawez kutulia na mwanamke mmoja kazi yao ni kubadili mabint usiku na mchana
*Hasara 3*
*Mwanaume mwenye kazi*
hawa wanaume pia hawatofautian na wale wenye pesa tabia zao znaingiliana ila hawa kwenye kazi zao huwa wanakutana na watu weng wazur kukuzid ww na hasara
*HASARA*4. *Wanaume wenye majina*
kwenye kund hili hawa ndio wanaongoza kwa kukosa uaminifu kwanzia mahusiano hadi kwenye ndoa zao hasa waimbaji, wanamuzik,waandishi wa habar mitume na manabii pamoja na wachungaji majina yao makubwa huwasukuma kuwa kiburi na kujilimbikizia idadi kubwa ya wanawake
*HASARA* 5. *Wanaume viongozi* hawa ndio wabaya kuliko maana viongozi wengi hutumia madaraka yao vibaya ili kupata wanachokihitaji hasa Makazini ukienda kuomba kazi boss atataka kulala na ww ndio upate kazi Pia viongozi wanakundi kubwa la watu nyuma yao hivyo huwapa kiburi sana cha kufanya wanachojiskia maana wanaowazunguka ni wengi zaid
*wengi wanajiuliza kama hawa wote sasa si wazuri nitao au nitaolewa na nani usijiulize dada au kaka nyota njema uonekana asubuhi unajua kupata mume ni jambo la kiMungu kabisa omba Mungu piga goti MDADA acha kujitahidi kwa akili zako kushawishi wanaume wa kukuoa acha dharau ukiwa bado binti mdogo jiheshimu katika usemi hadi mavazi pia ukimpata mchumba muombee sio kumsukuma akuoe kwa nguvuu muombee tu Mungu atamsukuma mwenyewe usiwe na haraka ya kuolewa sana. Mkaka acha kuchezea Wanadada wanaojielewa na kuwapotezea Muda wao acha kutongoza hovyo na kuacha acha kuwa na idadi ya wanawake wa Title uliyonayo heshimu utu na moyo wa mwanamke Share ujumbe huu kwa wengne*
*Mungu akubariki*
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment