» » Wakenya watawala mbio za London Marathon

Wakenya watawala mbio za London Marathon

Mary KeitanyHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMary Keitany
Wakenya Mary Keitany na Daniel Wanjiru wameibuka washindi wa mbio za London Marathon.
Keitany ameandikisha rekodi mpya ya wanawake pekee katika mbio za nyika kwa muda wa 2:17:01.
Amechukua taji hilo kwa mara ya tatu sasa akiwa na miaka 35.
Muithiopia Tirunesh Diababa amemaliza katika nafasi ya pili kwa muda wa 2:17:56
Katika mbio za wanaume Daniel Wajiru wa Kenya ameshinda kwa muda wa 2:05:56 na kufuatwa kwa karibu na Kenenisa Bekele wa Ethiopia
Kenenisa Bekele (kushoto) na Daniel Wanjiru
Image captionKenenisa Bekele (kushoto) na Daniel Wanjiru

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles