» » Msichana wa miaka 8 aeleza alivyonusurika ajali ya kuzama kwa gari

Msichana wa miaka 8 aeleza alivyonusurika ajali ya kuzama kwa gari

Chloe (chini kushoto) alinusurika lakini mamake, ndugu na dadake walifarikiHaki miliki ya pichaFACEBOOK
Image captionChloe (chini kushoto) alinusurika lakini mamake, ndugu na dadake walifariki
Msichana wa umri wa miaka 8 ambaye alinusurika wakati gari alimokuwa lilizama na kuwaua watu watatu wa familia ameelezea alivyojikakamua kujiokoa.
Chloe Kabealo anasema alifungua mshibi na akajaribu kupanda kupata hewa ndipo akapata fursa ya kuelea.
Chloe mama yake ,dada yaka na nduguye walikuwa ndani ya gari katika mjio wa Tumbulguni wakati liliteleza na kutumbukia kwenye mto uliokuwa na maji mengi mapema mwezi huu.
Chloe alifanikiwa kujiokoa na kukimbia kwa nyumba moja kutoa habari
Mama yao Stephanie King mwenye umri wa maiak 43, alikufa wakati akijaribu kuwaokoa watoto wake.
Mwanamke huyo alipatikna akiwa amefariki huku akimshika mtoto wake ishara kuwa alijaribu kuwaokoa watoto kabla hajafariki.
Ella Jane, mwenye umri wa miaka 11, na Jacob mwenye uri wa miaka 7 walifariki.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles