» » Raia waliokwama kuondoshwa mjini Mosul

Raia waliokwama kuondoshwa mjini Mosul

Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionRaia laki nne wamekwama mjini Mosul kutokana na mashambulizi yanayoendelea

Vikosi vya Iraq vimefungua njia ya kuwawezesha raia waliokwama kutokana na mapambano mjini Mosul kupata upenyo wa kukimbia mapambano yanayoendelea ya kuwatoa wapiganaji wa IS kwenye eneo la mwisho wanalolidhibiti.

Kamanda mjkuu amesema njia hizo zimelenga kuruhusu mchakato wa kuwaondoa raia kabla Serikali ya Iraqi haijafanya shambulizi kubwa ili kudhibiti eneo hilo.

Raia laki nne wanakisiwa kubaki katika sehemu ya eneo la mji wa Mosul.

Kumekuwa na taarifa za raia kuathiriwa vibaya kutokana na mashambulizi yanayotekelezwa na Serikali, yakisaidiwa na mashambulizi ya anga yanayotekelezwa na vikosi vya Marekani

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles