» » Uvumbuzi unaofanywa na chuo kikuu cha Makerere

Uvumbuzi unaofanywa na chuo kikuu cha Makerere


Vijana na uvumbuzi ni suala ambalo mara nyingi hunifurahisha. Siku hadi siku vijana kote barani Afrika huibuka na uvumbuzi wa kipekee unaokusudia kusaidia jamii. Vyuo vikuu navyo vinahusika kwa namna moja au nyingine katika uvumbuzi wa mambo mbalimbali, na Afrika Mashariki, Chuo Kikuu cha Makerere ni miongoni mwa taasisi zilizo mstari wa mbele. Mwandishi wetu Sophie Ikenye ametembelea chuo hicho.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...