» » Arsene Wenger apigwa marufuku ya mechi nne

Arsene Wenger apigwa marufuku ya mechi nne


Wenger akiamrishwa na refa kutoka uwanjani
Image captionWenger akiamrishwa na refa kutoka uwanjani
Mkufunzi wa Arsenal amepigwa marufuku ya mechi nne na faini ya paundi 25,000 baada ya kukiri mashtaka ya FA kwa tabia yake mbaya katika mechi dhidi ya Burnley.
Wenger mwenye umri wa miaka 67 alishtakiwa kwa kumtusi na kumsukuma msaidizi wa refa Anthony Taylor baada ya kutakiwa kutoka uwanjani.
Marufuku yake inaaza mara moja kwa hivyo atakosa mechi ya FA dhidi ya Southampton.
Iwapo mechi hiyo italazimika kurudiwa ,Wenger atarudi uwanjani wakati wa mechi ya ligi ya Uingereza dhidi ya Hull mnamo tarehe 11 mwezi Februari.
Hatahivyo iwapo mechi hiyo itakamilika siku ya Jumamosi na mshindi kubainika ,mechi dhidi ya Hull City itakuwa mechi yake ya nne na ya mwisho kuhudumia marufuku hiyo kufuatia mechi dhidi ya Watford na Chelsea.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...