» » » Watu kadha wapigwa risasi kwenye klabu nchini Marekani


Watu kadha wapigwa risasi kwenye klabu nchini Marekani
·  
    dha wapigwa risasi kwenye klabu nchini Marekani
Mtu mmoja ameuawa na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia ufyatuaji wa risasi kwenye klabu ya usiku huko Cincinati jimbo la Ohio.
Takriban watu wawili waliokuwa na silaha walitekeleza shambulizi kwa mujibu wa polisi.
Watu kadha walipata majeraha mabaya.
"Tuko kati kati ya hali mbaya alisema mkuu wa polisi" Paul Neudigate.
Kapteni wa polisi Kimberly Williams alisema kuwa polisi hawana taraifa kuhusu washambuliaji hao.
Hadi wakati huu kile kilochosababisha kutokea ufyatuaji huo bado hakijulikani.
Ufyatuaji huo ulitokea saa 05:00 GMT wakati mamia ya wtu walikuwa eneo hilo.
Kisa hicho kinatokea chini ya mwaka baada ya Omar Mateen, kufyatua risasi kwenye klabu ya wapenzi wa jinsia moja mjini Orlando huko Florida.

Mateen aliwaua watu 49 katika kisa ya kibaya zaidi cha ufyatuaji risasi katika historia ya Marekani.



http://www.bbc.com/swahili

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...