» » » Waasi washikilia uwanja wa ndege Syria

Waasi washikilia uwanja wa ndege Syria
ndela Syria
Wapiganaji wanaowaunga mkono waasi nchini Syria wanasema kuwa wamedhibiti eneo muhimu la uwanja wa ndege ambalo awali lilikuwa likitumika na kundi la Islamic State karibu na mji wa Raqqa kabla ya kushikiliwa na serikali.
Kundi hilo la SDF limesema limeshikilia eneo la Tabqa, kilomita 40 Magharibi mwa Raqqa.
 uwanja huu ulikuwa ukishikiliwa na serikali
Saa chache kabla ya tukio hilo, kundi la IS lilisema kuwa bwawa la Tabqa ambalo ni kubwa zaidi nchini Syria, lipo hatarini kubomoka kutokana na mshambulizi ya anga yanayofanywa na vikosi vya Marekani.
IS wameongeza kuwa vitendo hivyo vinalenga kuwafanya wakaazi wa mji wa Raqqa kuuhama mji huo.

Lakini jeshi la Marekani linasema hawajalenga bwawa hilo.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...