» » Washambuliaji wa kujitoa mhanga wawaua watu Nigeria

Washambuliaji wa kujitoa mhanga wawaua watu Nigeria

Image captionNigeria

Washambuliaji wa kujitolea mhanga kaskazini mwa Nigeria, wameuwa watu wane, wakiwemo mwanamke na watoto wake wawili.

Watu kama wanane walijeruhiwa katika kijiji, karibu na mji wa Maiduguri.

Msemaji wa polisi, Viktor Isuku alieleza kuwa washambuliaji watatu mwanamume na wanawake watatu, walijilipua kwa mabomu, walipokabiliwa na kundi la wanamgambo watiifu kwa serikali.

Wasichana 2 washambuliaji wa kujitolea mhanga wauawa NigeriaMsichana wa miaka 10 ajilipua Nigeria

Mwanamgambo mmoja pia alikufa katika shambulio hilo.

Maiduguri ndiko lilipoanza kundi la wapiganaji wa Kiislamu, Boko Haram, ambalo limeuwa watu elfu 15, tangu lilipoanza kupigana dhidi ya serikali ya Nigeria, miaka minane iliyopita.

Haki miliki ya pichaAFPImage captionBoko Haram, limewaua watu elfu 15, tangu lilipoanza kupigana dhidi ya serikali ya Nigeria, miaka minane iliyopita.

Mshirikishe mwenzako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...