» » Wanamgambo elfu mbili wa IS wauawa Iraq tokea Februari

Wanamgambo elfu mbili wa IS wauawa Iraq tokea Februari

Hivi ni viunganisho vya nje na vitafungua katika dirisha mpyaSambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Email Mshirikishe mwenzako

Image captionIS bado ni tishio nchini Iraq

Jeshi la Marekani limesema linaamini kuwa takriban wanamgambo elfu moja wa Islamic State wameuawa tokea kuanza kwa oparesheni ya kuwaondoa Magharibi mwa mji wa Iraq, Mosul.

Msemaji wa jeshi la Marekani linalounga mkono jeshi la Iraq, amesema kuwa walikuwepo wanamgambo takriban elfu mbili mwezi Februari.

Na kwa sasa wanaamini wamesalia pungufu ya nusu ya hao.

Pamekuwa na wiki ya mapigano makali mjini Mosul.

Sambamba na kuuawa kwa wanajeshi kutoka kila pande, pamekuwepo pia na taarifa za kuuawa kwa wananchi wengi.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles