» » » Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani baada ya ajali

Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani baada ya ajali

Kampuni ya Uber imeondoa magari yake yanayojiendesha barabarani, baada ya ajali ambapo moja ya magari yake lilianguka.
Picha zilizochapishwa zilionyesha gari lilokuwa limepinduka kwenye barabara katika jimbo la Arizona, kando na gari lingine lililokuw limeharibika vibaya.
Gari hilo aina ya Volvo SUV lilikuwa likijiendesha lenyewe wakati wa ajali. Hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Msemaji wa polisi eneo la Tembe huko Arizona, alisema kuwa ajalia hiyo ilitokea wakati gari lingine la Uber lilishindwa kugeuka upande wa kushoto.
Magari ya Uber yanayojiendesha kala mara huwa na mtu kwenye kiti cha dereva ambaye anaweza kuchukua usukani.

Kisa hicho kinajiri majuma kadha baada ya kampuni hiyo ya texi, kukumbwa na taarifa zisizo za kuridhisha zinazohusu mazingira ya kufanya kazi.
http://www.bbc.com/swahili

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...