» » Tanzania waambulia patupu mbio za Kampala.


Tanzania waambulia patupu mbio za Kampala.

Tanzania imeambulia patupu katika mbio za nyika za dunia Jumapili mjini Kampala, Uganda.
Kwa mujibu wa wanariadha wata Tanzania miongoni mwa sababu zilizochangia ni usafiri wa barabara kwa zaidi ya saa 30 kutoka Arusha Kasikazini mwa nchi kupitia Kagera Magharibi mwa nchi hadi Kampala.
Timu hiyo iliwasili Kampala Ijumaa usiku na mbio zikafanyika Jumapili.
John Nene amezungumza na nahodha Fabiano Joseph kuhusu suala hilo la usafiri.

Mada zinazohusiana

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles