» » » » Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Urusi Alexei Navanly akamatwa Moscow

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Urusi Alexei Navanly akamatwa Moscow


Kiongozi mkuu wa Upinzani nchini Urusi Alexei Navanly, amekamatwa wakati wa maandamano ya kupinga ufisadi aliyoandaa kwenye mji mkuu Moscow.
Waandamanaji walijaribu kulizuia gari kumpekeka mwanasiasa huyo.
Navalny ni maarufu kwa kampeni zake za kupinga ufisadi ambazo huwalenga maafisa wa vieo vya juu walio karibu na serikali ya Urusi.,
Anazuiwa kuwania urais kumpinga rais Vladimir Putin mwaka ujao, baada ya kupatikana na hatia kati ya kesi anayoitaja kuwa ilichochewa kwa misingi ya siasa.
Waandamanaji kadha walikamatwa, pale polisi walipojaribu kuvunja maandamano katika mji wa Vladivostok, kando ya Bahari ya Pacific.

Waandamanaji huko Chelyabinsk, walitaka Waziri Mkuu, Dmitry Medvedev ajiu-zulu kuhusu tuhuma za ufisadi.

http://www.bbc.com/swahili

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...