MAHUBIRI YA EFFOTI ZA NDANI TAREHE 06, FEB 2017
KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO UDOM-MASHARIKI (UDOM-EAST)
SOMO:* ```MAADILI NA UKOMBOZI```
*F/KUU:* ~Luka 6:12~
*WIMBO:* Na; 110 _lMlango Wazi)._
SOMO:* ```MAADILI NA UKOMBOZI```
*F/KUU:* ~Luka 6:12~
*WIMBO:* Na; 110 _lMlango Wazi)._
➡ *LUKA 6:12.*
Imani pekee ndicho kitu kitakachomfanya mtu akombolewe katika ulimwengu huu wa dhambi.
Imani pekee ndicho kitu kitakachomfanya mtu akombolewe katika ulimwengu huu wa dhambi.
➡ *Mwanzo 26:5*
Baba wa imani Ibrahim alifanya yote yaliyompendeza Mungu, aliisikia sauti ya Bwana, akayahifadhi maneno yake katika maisha yake yote. Na ndio chanzo kikubwa cha kuishika imani ni utii wa maadili ya Bwana.
Baba wa imani Ibrahim alifanya yote yaliyompendeza Mungu, aliisikia sauti ya Bwana, akayahifadhi maneno yake katika maisha yake yote. Na ndio chanzo kikubwa cha kuishika imani ni utii wa maadili ya Bwana.
➡ *Ufunuo 14:12*
Hapa ndipo penye subira ambapo kwayo tutaonekana watii wa sheria za Mungu.
_Haya ndiyo maadili yaliyo ndani ya kristo._
Hapa ndipo penye subira ambapo kwayo tutaonekana watii wa sheria za Mungu.
_Haya ndiyo maadili yaliyo ndani ya kristo._
➡ Warumi 7:7
_Tusemeje basi, kwani torati ni dhambi?_
Sheria ipo ili kutuonyeaha dhambi, sheria zote mpendwa zinatuongoza katika utakatifu na kumtii Mungu.
Na kwa kushika sheria yake ndiko kumtii yeye na ndio maadili ya Kristo.
_Tusemeje basi, kwani torati ni dhambi?_
Sheria ipo ili kutuonyeaha dhambi, sheria zote mpendwa zinatuongoza katika utakatifu na kumtii Mungu.
Na kwa kushika sheria yake ndiko kumtii yeye na ndio maadili ya Kristo.
✏ Mawazo yetu yote lazima yategemee utii wa sheria ya Mungu, maana ndiyo itakayotufanya tuwe na maadili mema kwa Mungu wetu. Maadili mazuri kwa Mungu wetu ndio ukombozi wa Maisha yetu.
➡ *Warumi 7:8*
```Kwa maana dhambi bila sheria imekufa.```
Sheria ya Mungu ndio hutufundisha kuzitii sheria zake. Kama tutazivaa sheria zake mahali popote tutatembea nae nasi tutaonyesha upendo kwa Mungu wetu.
```Kwa maana dhambi bila sheria imekufa.```
Sheria ya Mungu ndio hutufundisha kuzitii sheria zake. Kama tutazivaa sheria zake mahali popote tutatembea nae nasi tutaonyesha upendo kwa Mungu wetu.
Mwisho: *```SHERIA YA MUNGU SIO UNABII```*
Lazima tuitii kama ilivyo.
Bwana awabariki mnapokuwa watii kwa sheria zake maana ndio fahari yetu kwa Mungu wetu.
Lazima tuitii kama ilivyo.
Bwana awabariki mnapokuwa watii kwa sheria zake maana ndio fahari yetu kwa Mungu wetu.
Barikiwa sana na Karibu tena kesho.
Barikiwa sana na Karibu tena kesho.
Prepared by;
*PR: SABUYA_JR98*
Watsapp: +255 766 060 303.
Facbook: Sabuya Willy Jr.
Instagrm: Sabuya_jr98.
Watsapp: +255 766 060 303.
Facbook: Sabuya Willy Jr.
Instagrm: Sabuya_jr98.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment