BWANA NI MWEMA. HIVI NDIVYO ILIKUWA KWENYE SABATO YA TAREHE 4/02/2017
KATIKA KANISA LA BUZURUGA MWANZA
SIKUHIYO TULIKUWA NA MBARAKA WA PEKEE KWA KUSALI NA VIONGOZI WETU
Hawa ni viongozi wa south nyanza conference tulio sali nao
1,PR. MAKUNJA, KATIBU WA CHAMA CHA WACHUNGAJI
2,.MAMA MAGINGA, KAMUWAKILISHA DR, MAGINGA
3,PR.. DANIEL ONESIMO, PUBLISING DIRECTER
4,PR. NTABINDI, MKURUGENZI WA UWAKILI
4, PR. MLOZI MKURUGENZI WA MAWASIRIANO
5, PR. KANYAMANZA MRATIBU WAKUPELEKA INJILI MAENEO MAPYA
6,PR. MANEMA. NAWENGINE WENGI
PIA TULIKUWA NA VIONGOZI WA ATAPE KUANZIA TAIFA MPAKA ZA CHINI KABISA
ATAPE
VIONGOZI
MH,. BUYAMBA MWENYEKITI TAIFA
MWENYE SUTI WA KWANZA MBELE NDIE MH. BUYAMBA
SOUTH NYANZA CONFERENCE
MH,. MAPIGANO
NA MH, NJIRE
NA VIONGOZI WEGINE WENGI
Tulipata tarifa ya nzuri iliyo fanywa na Atape ikaongowa wachungaji wawili kutoka madhehebu ya Jumapili mmoja alikuwa askofu wachungaji hao ni :- PAUL MASOLO
na MOSES MAHALALA wote wa kanisa la pentecost
walio batizwa na wengine 20
kazi nzuri sana.
Tulikuwa na kiongozi wa Serikali
MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA KISHAP MH, MAGOIGA
WAHUDUMU WA SIKU HIYO,
Katibu mkuu South Nyanza conference PR. SWEETER
PR, SOLOMA SIMIONI SOLOMA MAKUNJA MCHUNGAJI WA WACHUNGAJI
NDYEGI KATIBU WA CHAMA CHA WACHUNGAJI UNION KASKAZINI NA WENYEJI WA WA MKUTANO
PR, SADOKI BUTOKE MWENYEKITI WA CONFERENCE NA WA SIKU HIYO
MWENYEKITI WA UNION GODWIN LEKUNDAYO
Mhubiri wa siku hiyo alikuwa ni mgeni wetu kutoka
MAKAO MAKUU YA KANISA (GC) NI KATIBU MKUU MWENZA ULIMWENGUNI
DR, JONAS ALYSE
TUMEBAHATIKA KUWA NAYE SOUTH NYANZA TANGU JUMA TATU HADI SABATO
Wimbo wa huduma kuu wimbo namba 43 Furaha gani!
wimbo wa sadaka: yote namtolea Yesu NO: 122 watu walikuwa wengi tukaongeza na wimbo 98 nilikupa wewe NO 98
Mimi binafsi nilipenda na kububujika fraha ndani yangu Mhubiri alisema hiviiii
Hakuna aliyejuta, kwakufanya mapenzi ya Mungu ila wengi wanajuta kwa kukataa mapenzi ya mungu je? wewe unafanya mapenzi ya Mungu au umekataaaa jiulize kisha geuka njoo huku mlango ukowazi kwako na kwangu
Kwaya hazikuwa mbali
WAUMINI WALIKUWA WENGI SANA
akipokea zawadi kutoka kwa mwenyeji wake DR Lekundayo
igoma s.d.a
BUZURUGA S.D.A WENYEJI WETU
NUNDU S.D.A WALITUBARIKI SANA
SIJUI USHINDI HATIMAE ITAKUWAJE
MAMBO YA MSOSI HALELUYA BWANA
JE? USHINDI HATIMAE ITAKUWAJE????????????????
KAMA WEWE SIO MSABATO BASI UNAKOSA VITU KAMA HIVI.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment