» » Donald Trump akutana na Benjamin Netanyahu

Donald Trump akutana na Benjamin Netanyahu


MarekaniHaki miliki ya pichaEPA
Image captionRais Donald Trump wa Marekani akipeana mkono wa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wakati wa mkutano na waandishi habari, nchini Marekani
Rais Trump amemkaribisha waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu katika ikulu ya Marekani, na kusema atafanya kazi kwa bidii kwa kile alichokiita makubaliano ya amani kati ya Israel na Palestine.
Amesema pande zote mbili zitahitajika kuwa na maridhiamo, na kwamba angetaka Israel isitishe kidogo ujenzi wa makazi unaoendelea.
Kwa upande wake, bwana Netanyahu amesema Israel sharti ihakikishe kuwepo kwa usalama katika eneo la linalokaliwa la West Bank.
Amesema hivi sasa kuna fursa kubwa ya kuwepo kwa makubaliano ya amani kwa kushirika wajumbe wengine wa nchi za kiarabu.
Bwana Netanyahu pia amesema anaamini kwamba uongozi wa bwana Trump unatoa fursa ya kihistoria ya kubadilisha kile alichokiita kama kuwepo kwa wimbi la waislamu wenye msimamo mkali.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...