» » DRC haina fedha za uchaguzi wa rais

DRC haina fedha za uchaguzi wa rais


drc
Image captionWafuasi wa chama cha upinzani nchini DRC
waziri wa fedha na bajeti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, amesema kwamba nchi yake haitaweza kutafuta fedha kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa rais mwaka huu.
Rais Joseph Kabila alikwisha maliza muhula wake kama rais wa nchi hiyo mnamo December mwaka wa jana.Makubaliano baina ya pande mbili, upande wa upinzani na serikali iliyoko madarakani kwa pamoja walikubaliana kuwa uchaguzi huo ungefanyika mwishoni mwa mwaka huu wa 2017.
Ingawa waziri huyo Pierre Kangudia, amesema kwamba kwa muujibu wa tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwamba uchaguzi huo gharama yake ni dola bilioni moja nukta nane zikiwa ni fedha za maandalizi ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe, na kusema kwamba serikali yake haitaweza kumudu gharama hizo.
Wapinzani wa rais Joseph Kabila, wapinzani mara kwa mara wamekuwa wakimtuhumu kwa kurejelea kuchelewesha uchaguzi kwa lengo la kusalia madarakani
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...