» » Polisi Waua Wawili kwa Tuhuma za Ujambazi

 Polisi wilayani Rungwe wamewaua watu wawili kwa tuhuma za ujambazi baada ya kuanza kufyatua risasi kwa polisi waliokuwa wakiwafuatilia.

Kamanda wa polisi mkoani hapa Dhahiri Kidavashari amesema leo kuwa  tukio hilo limetokea  katika Tarafa ya Pakati wilayani humo baada ya polisi kuwafuatilia watu waliokuwa na nia ya kwenda kufanya ujambazi  katika duka la mfanyabiashara wa soda na bia za jumla na M-Pesa katika Kijiji cha Kisiba.

Alisema  majambazi watatu walipakizana kwenye pikipiki moja na baada ya kuwaona polisi walianza kufyatua risasi na hatimaye polisi walijibu na kuwajeruhi wawili kati ya watatu huku mmoja akifanikiwa kutimua mbio baada ya kuitupa bunduki.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...