» »Unlabelled » Mwanzilishi wa Jamii Forums akosa kufikishwa kortini



Mwanzilishi wa Jamii Forums akosa kufikishwa kortini


Mwanzilishi wa mtandao maarufu wa kijamii nchini Tanzania Jamii Forums Maxence Melo hakufikishwa mahakamani Jumatano kama ilivyotarajiwa.
Polisi pia hawakumwachiliahuru.
Mwandishi wa BBC Sammy Awami alizungumza na wakili wa Melo na kwanza alianza kwa kumuuliza nini kinaendelea kuhusiana na kesi hiyo.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena Read More

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles