» »Unlabelled » Al-Shabab latoa video ya mwanajeshi wa Uganda

Al-Shabab latoa video ya mwanajeshi wa Uganda


Wapiganaji wa kundi la al-Shabab
Image captionWapiganaji wa kundi la al-Shabab
Kundi la wapiganaji wa al-shabab limetoa kanda ya video inayoonyesha kile inachosema ni mwanajeshi wa Uganda aliyekamatwa mwaka mmoja uliopita nchini Somalia.
Katika video hiyo ya dakika sita ,mtu mmoja aliyevaa magwanda ya jeshi la Uganda anamtaka rais wa Uganda kumsaidia kuachiliwa huru.
Anasema alikamatwa katika uvamizi wa kundi la al-Shabab katika kambi ya majeshi ya Afrika katika mji wa Janale,ambapo anasema kwamba kati ya wanajeshi 40 hadi 50 waliuawa.
Kiongozi wa jeshi la Uganda amesema kuwa hajaona kanda hiyo,na wanatumia kila njia kuhakikisha kuwa mwanajeshi huyo ameachiliwa.
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU WATARIFU NA WENZAKO PIA TUPIA MAONI YAKO

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles