» »Unlabelled » Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza

Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza


Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza
Image captionOperesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza
Wapiganaji wanaosaidiwa na Marekani, kaskazini mwa Syria, wametangaza wanaanza operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa, shina la Islamic State nchini humo.
Wapiganaji hao ni wa kundi linalojiita wapiganaji wa demokrasi wa Syria, na watasaidiwa na ndege za kijeshi za Marekani.
SDF ni mkusanyiko Waarabu lakini wengi wao ni wapiganaji wa Kikurd.
Na wadadisi wanasema hilo linaweza kuwa tatizo.
Inadaiwa kuwa siku za nyuma, Wakurd waliwafukuza Waarabu kutoka miji fulani, na Wakurd wakisonga mbele hawatokaribishwa katika eneo la Raqqa , ambako watu wengi ni Waarabu.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles