» »Unlabelled » Mpiganaji wa Kiislamu kutoka Mali Al Mahdi afungwa jela ICC

Mpiganaji wa Kiislamu kutoka Mali Al Mahdi afungwa jela ICC


Ahmad Al Faqi Al MahdiImage copyrightAFP
Image captionAhmad Al Faqi Al Mahdi alikiri mashtaka
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela.
Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu wa kivita kuhusiana na kuharibiwa kwa makaburi tisa na msikiti mashuhuri katika mji wa kale wa Timbuktu, 2012.
Wakati wa kusikizwa kwa kesi yake, Al Faqi Al Mahdi alikiri mashtaka.
Kesi dhidi yake ilisikizwa siku chache tu kwa sababu yake kukiri mashtaka.
Mshtakiwa ni mwalimu wa kidini na anadaiwa kuamrisha wapiganaji wa kundi la Kiislamu la
Ansar Dine waharibu turathi na maeneo ya kidini Timbuktu kati ya 2012 na 2013.
Al Mahdi kuhukumiwa mahakama ya ICC
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU WATARIFU NA WENZAKO PIA TUPIA MAONI YAKO

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles