» »Unlabelled »  UJASIRIAMALI KUONGEZA AJIRA NA KIPATO KIKUBWA 


 UJASIRIAMALI KUONGEZA AJIRA NA KIPATO KIKUBWA 

 SERIKALI KUPITIA TOVUTI WANAHAYA YA KUSEMA JUU WA UJASRIAMALI
                          
Wajasiriamali wadogowadogo na wa kati kuchangia kiasi kikubwa  kwenye kuongeza ajira,kuongeza kipato na kuchochea ukuwaji katika maeneo ya mijini na vijijini.inakadiriwa kwamba kiasi cha theluthi moja ya pato la taifa[GDP] inatokana  na sme kwa  mujibu wa utafiti  wa sekta isiyo rasmi wa mwaka 1991 wajasiriamali wadogo wadogo wanaoendesha shughuli katika sekta isiyo rasmi. Pekee na zaidi ya biashara milioni 1.7 zinazo waajiri watu milioni 3  ambayo ni sawa na asilimia 20% ya wafanyakazi mahiri Tanzania
Wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati [SME's] wanatoa mchango mkubwa sana  katika kutoa ajira na kuongeza kipato nchini  Tanzania SME duniani kote na hasa Tanzania, zinaweza kuanzishwa kwa urahisi kwa sababu masharti yake kwa upande wa mtaji, tekinolojia, usimamizi na hata miundombinu [maji, umeme, simu] si muhimu sana kama ilivyo katika shughuli kubwa .Shughuli hizi za wajasiliamali wadogo na wakati zinaweza kuanzishwa hata vijijini na hivyo kuongeza thamani kwa bidhaa za kilimo nawakati huwohuwo uwezesha kuenea kwa shughuli hizo. Kwa hakika  uendelezaji wa  SME unahusiana kwa karibu zaidi na usambazaji wa mapato kwa usawa  na haki zaidi na hivyo muhimu kwa kupunguza umasikini wakati huwohuwo SME nikama eneo la kujifunzia kwa wajasiriyamali wanao chipukia.
Sekta ya SME inaongozwa na Sera ya Maendeleo  ya Wajasiriyali Wadogowadogo na wa Kati ya mwaka 2003  kushughulikia vikwazo na kutumia  kwa ukamilifu uwezo wa sekta, inakuwa kama muongozo elekezi kwa wadau wote na hivyo kuchochea kuanzishwa kwa shughuli mpya na zilizopo kukua na kuwa zaushindani zaidi. 

MPAKA HAPO UNASUBIRI NINI KUWA MJASIRIAMALI?

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...