» » Hasira

Hasira zinaweza kuwa ni sababu ya mwili kukosa nguvu.

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ Kutoona vizuri : Ugonjwa huu husababisha mtu kushindwa kuviona vitu vizuri. 
๐Ÿ‘ฃTatizo hili hutibika lakini mara nyingine hali huweza kuwa mbaya kiasi cha kuwa na tatizo la kudumu au kupata upofu .(๐——๐—ถ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐—ฐ ๐—ฟ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐—ป๐—ผ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ต๐˜†)

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ Vidonda kutopona vizuri au haraka: Unapokuwa na sukari nyingi katika damu, uwezo wa mwili kuponya vidonda hupungua .

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ Magonjwa ya ngozi:
 Mwili wenye sukari nyingi ndani ya damu huwa na uwezo mdogo sana wa kujiponya kutokana na maambukizi ya wadudu. ๐Ÿ‘ฃWanawake wenye kisukari huwa na maambukizi zaidi na hupata shida kubwa ya kuponya maambukizi ya sehemu nyeti za miili yao. 

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ ๐—žuwashwa kwa ngozi : 
Kuwashwa kwa ngozi mara nyingine ni dalili ya kuwa na kisukari .

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ Kuwa na fizi nyekundu au zilizovimba : 
Fizi nyekundu na/au zilizovimba huweza kuwa ni dalili ya kuwa na ugonjwa wa kisukari, na mara nyingine meno hulegea. 

๐Ÿ’๐Ÿฝ‍♀️ Uwezo mdogo wa kushiriki tendo la ndoa: Hili ni t…

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...