» » 𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔π—₯𝗔 𝗬𝗔 π—žπ—œπ—¦π—¨π—žπ—”π—₯π—œ

🀷🏻‍♀️Kama ugonjwa wa kisukari hautadhibitiwa ipasavyo, madhara makubwa huweza kutokea. 

πŸ‘‡πŸΎ Baadhi ya madhara ambayo yamehusishwa na ugonjwa huu ni kama ifuatavyo: 

🫡🏼Matatizo ya macho-glaucoma, 🫡🏼 cataracts na mengineyo.
🫡🏼Matatizo ya miguu-vidonda na gangrene ambavyo mara nyingine husababisha miguu ikatwe. 
🫡🏼Matatizo ya moyo -pamoja na upungufu wa damu inayoelekea kwenye misuli ya moyo.
🫡🏼 Hypertension -ambayo huweza kulsababisha figo kushindwa kufanya kazi, matatizo ya macho , magonjwa ya moyo na kiharusi .
🫡🏼Matatizo ya kusikia -kisukari husababisho tatizo la kushindwa kusikia vizuri.
🫡🏼 Gastroparesis -misuli ya tumbo kushindwa kufanya kazi yake vizuri.
🫡🏼 Kiharusi (Stroke)-endapo blood pressure, cholesterol na sukari havitadhibitiwa, uwezekano wa kupatwa na kiharusi huwa ni mkubwa sana.
🫡🏼 Ugumba- kisukari humfanya mgonjwa ashindwe kufanya tendo la ndoa.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...