» » MAJINA YA MUNGU


 Jina la Mungu na Maana yake kwenye Biblia

 1. Adonai ‐ Mungu Mwenye enzi yote ‐ Mwa 15:2‐8, Kut 6:2‐32. El‐Ohim ‐ Mungu Muumbaji ‐ Mwa 33:20, Kol 1:16‐17


 3. El‐Elyon ‐ Mungu Aliye juu zaidi ‐ Mwa14:18, Dan 4:34


 4. El‐Gibbor ‐ Mungu Mwenye Nguvu ‐ Isa 9:6, Zab 147:5


 5. El‐Hai ‐ Mungu Aliye Hai/Anaishi ‐ Josh 3:10, 1Sam17:26


 6. El‐Olam ‐ Mungu wa Milele ‐ Ufu 4:8, Kut 3:14


 7. El‐Roi ‐ Mungu Aonaye kila kitu ‐ Mith 15:3, Zab 32:8


 8. El‐Shaddai ‐ Mungu Mtoshelezi ‐ Mdo 17:28, Kumb 8:4


 9. Jehovah ‐ Ajitegemeaye kuwepo ‐Kut 6:2‐8, Mdo 17:24‐25


 10. Jehovah Shalom ‐Mungu Amani yetu ‐ Amu 6:22‐24


 11. Jehovah Rapha ‐ Mungu Atuponyaye ‐ Kut 15:26


 12. Jehovah Jireh ‐ Mungu Mtoaji wetu ‐ Mwa 22: 8, 14


 13. Jehovah Nissi ‐ Mungu Ushindi wetu ‐ Kut 14:13‐14 


 14. Jehovah Saboath ‐ Bwana wa Majeshi ‐ Malaki 3:7 


 15. Jehovah Shammah ‐ Bwana ni Aliyepo ‐ Kut 3:14 


 16. Jehovah Rohi ‐ Bwana ni Mchungaji wangu ‐ Zab 23:1


 17. Jehovah Tsidkenu ‐ Bwana ni Haki yetu ‐ Yer 23:6


 18. Jehovah Mekaddishem ‐ Bwana Atutakasaye ‐ Kut 31:13

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...