» » 🤔🤔🤔🤔🤔 JE, NI NANI ALIEBADILI SIKU YA SABATO TOKA JUMAMOSI NA KWENDA JUMAPILI? 🤔🤔🤔🤔 .

Lakini kwa mapana zaidi kuhusu ni nani alieibadili siku ya sabato gusa link hii

👇👇

https://youtu.be/x9RrQwheMdw

👆👆.

🤔🤔🤔 watu wengi sana wanasema kwa kifo cha YESU pale msalabani na kufufuka kwake ndivyo vilivyo sababisha sabato itoke jumamosi na kwenda jumapili. Je, 🤔🤔 ni kweli jambo hilo??



*NB*

PANA SILI NZITO SANA KUHUSU SIKU YA SABATO JAPO WENGI KWA AKILI YA KAWAIDA YA KIBINADAM WANACHUKULIA KAWAIDA TU.



Ndugu tujifunze leo kuhusu kufa na kufufuka kwa yesu na ukweli kuhusu siku ya sabato lakini tutaanza kuifahamu historia ya sabato

.

.

.

.

Kwa kuwa kabla ya dhambi sabato ya siku ya saba ilikuwepo mwanzo 2:1-3. lakini baada ya dhambi MUNGU hakupenda mwanadam apotee bali apate uzima wa milele yohana 3:15-17. basi kabla hajaja aliweka vitu vingi ambavyo vilikuwa Vivuli vya ujio wa *YESU kristo*  mfano  wa vimvuli hivyo ni pamoja na

 *1* patakatifu pa dunia ebrania 8,

 *2* sabato ya kila tarehe 10 mwezi 7 walawi 23:26-32 walawi 16:29-31 

*3* sabato ya mwaka wa saba walawi 25:1-7 kutoka 23:10-11 kutoka 21:2 

*4* sabato ya miaka 49 walawi 25:8---- 

*5* mwandamo wa mwezi wa abibu kutoka 23:15 kutoka 34:18 

*6* sikukuu za vinywaji walawi 28:18 kutoka 29:40,41 walawi 23:13

*7*  mikate isiyotiwa chachu mwezi wa 2 tarehe 14 siku saba torati 16:3 kutoka 13:6,7 kutoka 34:18

*8* kula sadaka ya unga walawi 2:10.  mambo mengine meeengi

.

.

.

Hayo yote 👆👆👆👆👆👆 yalikuwa kivuli cha ujio wa YESU KRISTO

.

.

🤔🤔🤔 kwani YESU alikuja kufanya nini hapa duniani?? 🤔🤔 


YESU kristo alikuja duniani kumtafuta yule mdhambi alie asi pale edeni kwa kutotii.

.

Kwa hiyo basi mtume paulo katika wakolosai anatwaambia vitu hivyo vilikuwa ni vivuli vya ujio wa YESU ukisoma kolosai 2:16,17 na aliendelea kuwaambia kuwa tusiendelee kushika siku kama ya tarehe 14 mwezi wa 2 au ya tareh 10 mwezi wa 7 na miezi kama mwezi wa abibu, miaka ya sabato nk katika galatia 4:9-10 lakini baada ya vivuli kuondolewa kama kolosai 2:16,17 inavyo sema.  Biblia inatwambia imebaki (imesalia) sabato ya siku ya saba tu ambayo haikuwa kivuli kwani ilikuwepo hata kabla ya dhambi kuingia na ni kumbukumbu ya *uumbaji* Na hii iliwekwa kwa lengo la  *kwa matendo ya mwanadam yakili au yaonyeshe kuwa  MUNGU ndiye muumbaji* kwani unapofanya kazi siku sita na kupumzika siku ya sabato (jumamosi)  unapumzika (starehe) kama Mungu alivyopumzika(starehe) katika kazi zake baada ya uumbaji. *Ukifanya hivyo unakili wazi kabisa kwa matendo kuwa Mungu ndiye muumbaji.* Usipo fanya hivyo kwa vitendo unapinga kuwa Mungu sio muumbaji kwa hiyo vitu viliibuka tu. Na hilo ndilo lengo la shetani kuwa kwa matendo yetu tupinge kuwa Mungu sio muumbaji ila kwa maneno tukili kuwa ni muumbaji. Tukumbuke kuwa yakobo 2:17,26 """.......... Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake............... Maana kama vile mwili pasipo Roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa"""" 

.

Kwa hiyo usipopumzika siku ya saba [sabato] (jumamosi) imani ya kuamini MUNGU muumbaji inakufa. 


*NB*

Mungu hapendi uvivu na anachukia uvivu mithali 6:6-11 kutoka 20:8-11 *HIVYO FANYA KAZI KWA BIDII SIKU SITA NA SIKU YA SABA PUMZIKA*

.

.

.

.

.

*WENGI WA WANADAM WA LEO WANASEMA TUNAPUMZIKA JUMAPILI KWANI KWA KIFO NA UFUFUO WA YESU ULIHAMISHA UTUKUFU WA SIKU YA SABA (JUMAMOSI) NA KUIPELEKA JUMAPILI (SIKU YA KWANZA YA JUMA)*


🤔🤔🤔 je, jambo hilo ni kweli??? 👆👆👆

.

.

.

Kwa kuwa *"kwa mtu mmoja alipoasi wanadam wote wakaingizwa dhambini lakini kwa kutii kwa mtu mmoja wanadam wote wamepata haki Warumi 5:19"* kwa hiyo kwa kupigwa (kufa) kwa kristo pale msalabani wanadam wote tuliponya katika dhambi 1 petro 2:24 au wanadam wote tulinunuliwa kuwa wana wa MUNGU kupitia damu yake KRISTO ufunuo 5:9.


*hivyo siku ya UKOMBOZI wa mwanadam ni siku ya ijumaa* ambayo ndiyo siku kwa msalaba  wake akatufanya kuwa wa moja na haki sawa kwa wanadam wote katika kumwendea MUNGU

Waefeso 2:12-13,16

[12]kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.

[13]Lakini sasa, katika Kristo Yesu, *ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo.*

[16]Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba.


Ujanja wa mtu yoyote ni msalaba au kifo cha kristo YESU na sio vitu vingine 1 koritho 1:18


Lakini baada ya kufanya kazi ya UKOMBOZI, YESU alipumzika (starehe kaburini), kwani kwa kauli za YESU na MBINGU, kifo kinaitwa usingizi

👇👇

Yohana 11:11,13-14

[11]Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, *Rafiki yetu, Lazaro, amelala;* lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

[13]Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.

[14]Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, *Lazaro amekufa.*

👆👆

Kama Tunavyo faham, mtu baada ya kufanya kazi, anapumzika vivyo hivyo baada ya YESU kutukuomboa *(KUMUUMBA MWANADAM UPYA)* alipumzika sio kwamba alichoka bali ni kudhihilisha kuwa MUNGU ANAFANYA VITU KIKAMIKIFU NA VYEMA (kwa upendo MUNGU anamuumba mwanadam upya kama alivyo muumba mwanzo katika edeni kwa njia ya msalaba)


*NB* 


MUNGU alipomuumba mwanadam alifanya kila kitu kiusahihi na baada ya kuanguka mwanadam dhambini akamuumba tena kwa mala ya pili siku ile ile ya *sita* kisha akapumzika au akalala siku ya saba *(hii yote ni kuonyesha kuwa alichokiumba mwanzo kilikuwa chema na hakina kasolo HIVYO ALIULUDIA ULE ULE UUMBAJI KWA MWANADAM ALIE KENGEUKA KATIKA ULE ULE UKAMILIFU WA MWANZO WA UUMBAJI)*


*usingizi ni PUMZIKO* kwani wengi wakichoka hua wanathubutu kuwaambia watoto wao kuwa *mtu akija mwambia baba hayupo, mi nalala sitaki mtu aje anisumbue* 


LAKINI KWA KRISTO SIO KWAMBA ALICHOKA BAADA YA KUFANYA KAZI YA UKOMBOZI, Bali ilikuwa ni kumkumbusha mwanadam kuwa siku ya sabato ni zawadi kwake na siku hiyo ni alama au ni ishara kati ya MUNGU na mwanadam kwani mwanadam kwa matendo anakili kuwa MUNGU ndiye MUUMBAJI WAKE. 


*HIVYO YESU KUWA KABURINI SIKU YA SABATO BASI ALIPUMZIKA AU ALIITUNZA PIA SABATO*


SIKU YA UFUFUO (SIKU YA KWANZA YA JUMA)


🤔🤔🤔 *kwanini YESU alifufuliwa siku ya kwanza ya juma* ??? 🤔🤔


*1* kwa sababu mauti haikustahili iendelee kumshikilia kwani kazi iliyomleta ya hapa duniani ni kumkomboa mwanadam kutoka dhambini na UKOMBOZI ulifanyika ijumaa

Matendo ya Mitume 2:24

[24]ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Waebrania 4:15

[15]Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; *bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.*

*2* kumpatia tumaini mwanadam kuwa atafufuliwa 

2 Wakorintho 4:14

[14]tukijua ya kwamba yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi nasi pamoja na Yesu, na kutuhudhurisha pamoja nanyi.

*3* akafanye huduma ya maombezi hekaru la mbinguni waebrania 8:1-7

*4* akaipeleke sadaka iliyotolewa pale msakabani

Ufunuo 5


*hivyo YESU KRISTO tangu alipofufuliwa na kweli akafufuka tunasema ameshinda mauti kwani tangu alipofufuliwa hadi leo na kesho hata milele na milele yu hai.*


HIVYO hakuna sababu yoyote ya kufanya ibada siku ya kwanza ya juma (jumapili) kama ndiyo sikukuu ya wiki katika ibada

*Hivyo ndugu zangu tuikumbuke siku ya sabato (jumamosi) na tuitakase*

.

.


Isaya 1:19-20

[19]Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;

[20]bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya


Ubarikiweeee *sambaza kwa wengine tafadhali* 🙏🙏🙏🙏🙏

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...