» » Zijue Nchi zinazoongoza kwa Ushawishi zaidi Duniani.


Kiwango cha ushawishi chanya wa Marekani umeonekana kuendelea kushuka haraka kuliko nchi yoyote, kwa mujibu wa utafiti mpya uliofanywa na Ipsos MORI.

 Organisation hiyo ya Kimataifa iliwatafiti watu wazima 18,055 kutoka katika nchi 25 ambapo iliwauliza Taifa gani na Taasisi gani ya Kimataifa (zikiwemo EU na UN) zilizokuwa na ushawishi mkubwa duniani.

Wengi walionesha kujibu Canada kuwa na ushawishi chanya duniani ambapo inawafanya kupata 81% na kuwa kinara ikifuatiwa na Australia katika nafasi ya pili ikiwa na 79%. Marekani ikamata nafasi ya 9 ikiwa na 40%.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...