» » Ubelgiji ilifahamu kuhusu mayai yaliyoharibika

Mayai yaliyo na sumu ya kuuwa wadudu yakiharibiwa shambani nchini Uholanzi

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMayai yaliyo na sumu ya kuuwa wadudu yakiharibiwa shambani nchini Uholanzi
Maafisa wakuu nchini Ubelgiji wamekiri kuwa, mnamo mwezi Juni, walifahamu mayai kutoka Uholanzi, huenda ilikuwa imeingiwa na kuharibiwa na dawa ya kuuwa wadudu.
Msemaji wa mamlaka kuu ya usalama wa chakula nchini Ubelgiji Katrien Stragier, anasema kuwa walihifadhi siri, ufahamu wao kuwa, mayao hayo yalikuwa na uwezekano wa kuingiliwa na dawa aina ya Fipronil -- kwa sababu ya uchunguzi kuhusu udanganyifu.
Maduka makubwa ya jumla nchini Ubelgiji, Uholanzi na Ujerumani, yameondoa kabisa madukani uuzaji wa mayai hayo.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...