» » Miili ya wanajeshi wa Uganda waliouawa Somalia yawasili nyumbani


Image captionMiili ya wanajeshi wa uganda yawasili nyumbani

Miili ya wanajeshi 12 wa Uganda waliouawa nchini Somalia siku ya Jumapili imesafirishwa nyumbani.

Shere ya kijeshi ilifanyika wakati miili hiyo iliwasili uwanja wa ndege wa Entebbe.

Museveni amteua mwanawe kuwa mshauri

Familia zilifika na wengine walikuwa na husuni wakati ndege ilitua uwanjani.

Image captionMiili ya wanajeshi wa uganda yawasili nyumbani

Wanajeshi wa Uganda huchukua asilimia kubwa ya kikosi cha Amisom kinachoiunga mkono serikali ya Somalia katika vita dhidi ya al-Shabab.

Wanajeshi wa AU waliouza mafuta Somalia wafungwa

Hao ndio wanajeshi wengi zaidi wa Uganda kuuliwa nchini Somalia tangu mwaka 2015 wakati wanajeshi 19 waliuliwa wakati wa shambulizi la al-Shabab.

Image captionMiili ya wanajeshi wa uganda yawasili nyumbani

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...