» » TCU; Majina ya vyuo 19 vilivyozuiwa na TCU kuandikisha wanafunzi mwaka 2017/18


Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa imefanya uhakiki wa vyuo vyote vya elimu ya juu nchini ili kuhakiki ubora wa elimu inayotolewa vyuoni hapo, ripoti ya uhakiki huo ilionyesha mapungufu kadhaa katika baadhi vyuo. 

Hivyo tume imeamua kuchukua uamuzi wa kusitisha udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18 kwa vyuo hivyo.

Aidha, Tume hiyo imevitaja vyuo hivyo kuwa ni pamoja na:

    Eckenforde Tanga University    Jomo Kenyatta University, Arusha    Kenyatta University, Arusha    United African University of Tanzania    International Medical and Technological University (IMTU)    University of Bagamoyo    Francis University College of Health and Allied Sciences    Archibishop James University College    Archibishop Mihayo University College    Cardinal Rugambwa Memorial University College    Kampala International University Dsm College    Marian University College    Johns University of Tanzania Msalato Centre    Johns University of Tanzania, Marks Centre    Joseph University College of Engineering and Technology    Teofilo Kisanji University    Teofilo Kisanji University Tabora Centre    Tumaini University, Mbeya Centre    Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMCo)

Aidha, kutokana na mapungufu hayo katika vyuo mbalimbali imeamriwa kuwa jumla ya programu 75 kutoka vyuo 22 nchini zimesitishwa kudahili wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18. 

Programu ambazo zimesitishwa kudahili wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2017/18 ni pamoja na


Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...