» » Rais Magufuli Atua uwanja wa mpira wa Lemela kumsubiri Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza


Rais John Magufuli amewasili katika uwanja wa  mpira wa Lemela Kata ya  Kanazi  Wilaya Ngara  Mkoani Kagera ambapo atampokea Rais wa Burundi  Pierre Nkurunziza na baada ya hapo watakagua gwaride.

Mara baada ya kumaliza ukaguzi wa gwaride hilo viongozi hao watakuwa na maongezi maalum.

Rais Magufuli yuko ziarani Kanda ya ziwa na jana alizindua barabara ya kiwango cha lami ya Kagoma- Biharamulo-Lusahunga.

Pamoja na uzinduzi Rais Magufuli pia alihutubia wananchi ambako umati mkubwa umehudhuria uzinduzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 154.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...