» » Mwanafuni mdogo aliyefaulu mtihani wa wanafunzi wakubwa Benin

Peace Delaly Nicoue

Haki miliki ya pichaBOB QUENUM/BBC
Image captionPeace Delaly Nicoue
Peace Delaly Nicoue, ndiye mwanafuniz mwenye umri mdogo zaid aliyefanya mtihani wa mwisho unaofahamika kama Baccalaureate nchini Benin mwaka huu na kupata alama za juu.
Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 11 anasema alifurahishwa baada ya kupata alama 17 kwa 20 katika somo la hesabu.
Huku wanafunzi wengi wakifanya mtihani huo wa mwisho wakiwa na umri wa miaka 18, Peace aliruhusiwa na serikali kuufanya mtihani huo miaka saba kabla ya kuhitimu.
Mwalimu wake anasema kuwa Peace alionyesha mapema dalili za kufanikiwa.
"Akiwa na umiri wa miaka 4 alikuwa akiandika kifaransa na kiingereza bila ya kufanya makosa" alisema mwalimu wake.
Peace anasema kuwa ndoto yake na kusomea nchi inayozungumza lugha ya Kiingereza.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles