» » Marekani yawawekea vikwazo maafisa wa vyeo vya juu nchini Venezuela

US Treasury Secretary Steve Mnuchin in Washington, DC, on 26 July 2017

Haki miliki ya pichaEPA
Image captionWaziri wa fedha wa Marekani Steve Mnuchin alitangaza vikwazo hivyo
Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo maafisa 13 wa vyeo vya juu nchini Venezuela wakati shinikizo zinazidi kuongezeka dhidi ya Rais Nicolas Maduro kabla ya kura inayokumbwa na utata ya bunge jipya la kubuni katika mpya.
Vikwazo hivyo ni vya kutwaliwa mali ya maafisa hao nchini Marekani na kuyazuia makampuni ya Marekani kufanya biashara nao.
Wale waliolengwa ni pamoja na waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa majeshi.
Wiki iliyopita, Rais Donald Trump aliapa kuchukua hatua kali za kiuchumi ikiwa Bwana Maduri ataandaa kura hiyo ya maoni siku ya Jumapili.
President of Venezuela, Nicolas Maduro, speaking to supporters in Caracas, Venezuela, on 25 July 2017.Haki miliki ya pichaEPA
Image captionRais Nicolas Maduro
Hata bwana Maduro ametaja vikwazo hivyo kuwa vilivyo kinyume na sheria
Vikwazo hivyo pia vinamlenga mkuu wa baraza la uchaguzi Tibisay Lucena, aliyekuwa makamu wa rais Elias Jaua ambaye anaongoza tume zinaoandaa uchaguzi wa Jumapili.
Kujumuishwa kwa maafisa wa vyeo vya juu kutoka kwa kampuni ya serikali ya mafuta PDVSA na ishara kuwa huenda vikwazo hivyo pia vikalenga sekta ya mafuta nchini Venezuela.
Akitangaza vikwazo hivyo waziri wa fedha wa Marekani Steven Mnuchin alisema kuwa Marekani hauweza kupuuza jitihada za utawala wa Maduro za kuhujumu demokrasia, uhuru na sheria.
A demonstrator prepares to throw a tear gas canister during a strike called to protest against Venezuelan President Nicolas Maduro's government in Caracas, Venezuela on 26 July, 2017.Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMaandamano Venezuela

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles