» » Venezuela kuelekea katika utawala wa kijeshi?

Rais Nicholas Maduru amekua akidaiwa kutumia nguvu kukabiliana na maandamano

Image captionRais Nicholas Maduru amekua akidaiwa kutumia nguvu kukabiliana na maandamano
Muendesha mashtaka mmoja wa ngazi ya juu nchini Venezuela amesema taifa hilo linaelekea kuwa na na utawala wa kijeshi ambapo idara ya mahakama haina uwezo wa kuwachukulia hatua maafisa wanaokiuka sheria.
Katika mahojiano na na gazeti moja la Peru(El Comercio) Luisa Ortega Diaz amesema visa vya wanajeshi kukiuka haki za binadamu vimeongezaka katika siku za hivi karibuni.
Zaidi ya watu sabini wameuawa tangu mwanzo wa mwezi wa nne mwaka huu.
Bi Ortega ni mmoja wa maafisa wachache wa serikali kumshutumu Rais Nicholas Maduru.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles