» » Polisi Ufaransa yamkamata mtu aliyejaribu kuvamia msikiti

Polisi wanasema vizuizi vilivyokuwepo nje ya msikiti vilimfanya mshambuliaji huyo kushindwa kutimiza azma yake

Image captionPolisi wanasema vizuizi vilivyokuwepo nje ya msikiti vilimfanya mshambuliaji huyo kushindwa kutimiza azma yake
Polisi nchini Ufaransa imemkamata mtu mmoja katika jiji la Paris baada ya kujaribu kuendesha gari kwa kasi mbele ya umati wa watu nje ya msikiti mmoja.
Shambulizi hilo lilitokea katika kitongoji cha Créteil na hakuna aliyejeruhiwa.
Mtu huyo hakuweza kutimiza azama yake baada ya kushindwa kuvipita vizuizi vilivyokuwepo mbele ya msikiti huo.
Polisi akiwalinda wanawake wa Kiislam waliokuwa wakitoka msikitini hapo
Image captionPolisi akiwalinda wanawake wa Kiislam waliokuwa wakitoka msikitini hapo
Vyombo vya habari vya Ufaransa vinasema mshambuliaji huyo ana asili ya Armenia.
Lengo la shambulizi hilo bado halijajulikana.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles