» » Mkuu wa polisi kuhojiwa kwa matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanaji Venezuela

Polisi wamekuwa akikumbana na wakati mgumu kukabiliana na waandamanaji

Image captionPolisi wamekuwa akikumbana na wakati mgumu kukabiliana na waandamanaji
Ofisi ya mwanasheria mkuu nchini Venezuela imemtaka mkuu wa zamani wa jeshi la polisi kutoa maelezo juu ya matumizi ya nguzu zilizopitiliza dhidi ya mamiz ya waandamanaji wanaoipinga serikali nchini humo.
Ofisi hiyo imesema kuwa kuna ushahidi wa kutosha juu ya matumizi ya nguvu zilizopitiliza kwa waandamanaji.
Antonio Benavides anatarajiwa kuhojiwa siku Julai sita.
Antonio Benavides anasema ni vigumu kutumia njia ya kawaida kuwakabili waandamanaji wasiochoka
Image captionAntonio Benavides anasema ni vigumu kutumia njia ya kawaida kuwakabili waandamanaji wasiochoka
Aliondolewa madarakani wiki iliyopita, baada ya polisi aliowapa maelekezo kuonekana wakiwafyatulia risasi waandamanaji.
Zaidi ya watu 80 wameuawa katika maandamano ya miezi mitatu ya kupinga utawala wa Rais Nicolas Maduro.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles