» » Mapigano yaua kadhaa Afrika ya Kati

Mlinda amani wa Umoja wa Mataifa, akilinda usalama

Haki miliki ya pichaAFP
Image captionMlinda amani wa Umoja wa Mataifa, akilinda usalama
Watoa misaada ya kibinaadamu wamearifu kwamba watu arobaini wameuawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku moja baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya upande wa serikali na vikundi vya waasi nchini humo.
Mapigano makubwa yaliibuka katika mji wa Bria, ulioko upande wa kaskazini mwa mji mkuu, Bangui mapema wiki hii.
Mji huo uko chini ya usimamizi wa meya , Maurice Belikoussou, alisikika akizungumzia juu ya maiti za watu zilizotapakaa katika mitaa mbalimbali.
Makubaliano ya suluhu yaliwekwa saini mjini Roma, Italia yakijumuisha usitishwaji mapema wa mapigano, yakiwa na lengo la kufikia mwisho wa mapigano yaliyodumu miaka kadhaa yakihusisha vurugu kati ya wanamgambo wa Kikristo na Waislam.



Tuma picha/ habari what-sap 0769436440






BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS





tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...