» » Waziri aliyeuawa azikwa Somalia

Abbas hakuwa na uzoefu mkubwa katika siasa lakini alipendwa na wengi
Image captionAbbas hakuwa na uzoefu mkubwa katika siasa lakini alipendwa na wengi
Waziri wa ujenzi nchini Somalia aliyeuawa na na mwanajeshi wa serikali mjini Mogadishu siku ya Jumatano Abbas Abdullahi Siraji amezikwa katika mazishi ya kitaifa.
Mmoja wa wanajeshi wa serikali alifyatua risasi katika gari la waziri huyo alipokua akikaribia ikulu ya Rais.
Maafisa wa usalama wanasema kuwa mlinzi huyo alidhani gari hilo lingeleta madhara kiusalama na hakujua kuwa lilikuwa la waziri huyo.
Rais Mohammed Abdullahi Farmajo ameamuru kufanyika kwa uchunguzi wa kina.
Ameahirisha pia safari yake ya kikazi nchini Ethiopia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi hayo.
Abbas alikua mkimbizi katika kambi ya Dadaab na baadae kuwa waziri mdogo zaidi nchini humo huku akihamasiaha raia wengi wa nchi hiyo.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...