» » Rais Jacob Zuma kuzuru Tanzania

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini

Image captionRais Jacob Zuma wa Afrika Kusini
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anatarajiwa kuzuru nchini Tanzania hii leo katika ziara ya rasmi ya siku tatu kufuatia mwaliko wa rais John Pombe Magufuli.
Akizungumza na vyombo vya habari siku ya Jumatatu Waziri wa maswala ya kigeni nchini Tanzania Augustine Mahiga alisema kuwa ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara mbali kuangazia maswala mbali mbali ya maendeleo.
Rais Zuma ataandamana na mawaziri sita pamoja na wafanyibiashara kadhaa kutoka Afrika Kusini.
Atakuwa nchini humo kuanzia tarehe 10 hadi 13 akitarajiwa kufanya mazungumzo na mwandalizi wake rais Magufuli katika ikulu ya rais.
Kulingana na Mahiga kiwango cha biashara kati ya mataifa hayo mawili kimeongezeka kutoka dola milioni 803 mwaka 2006 hadi dola bilioni 2.2 2016 hatua iliobuni ajira 20,916.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...