» » Juventus yatinga fainali

Wachezaji wa klabu ya Itali Juventus wakisheherekea ushindi wao dhidi ya Monaco


Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionWachezaji wa klabu ya Itali Juventus wakisheherekea ushindi wao dhidi ya Monaco

Klabu ya Juventus kwa mara ya pili imefuzu katika fainali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya baada ya kuishinda Monaco kwa jumla ya mabao.
Wakiwa wanaongoza 2-0 katika awamu ya kwanza ya mechi ,timu hiyo ya Itali iliongeza jumla ya mabao wakati mshambuliaji wao Mario Mandzukic alipofunga .
Dani Alvez aliongeza bao la pili baada ya kipa Danijel Sabusics kuupangua mpira ulioanguka mbele yake.
Kylie Mbappe alifunga krosi iliopigwa katika kimo cha nyoka ya Joao Moutinho ili kufunga bao la kufutia machozi, lakini klabu hiyo ya ligi ya daraja la kwanza haikuweza kufunga zaidi ya bao moja.
Juventus ambao hawajashinda kombe hilo tangu 1996 na waliopoteza katika fainali ya mwaka 2015 dhidi ya Barcelona watakabiliana na Real Madrid au Atletico Madrid katika uwanja wa Cardiff mnamo tarehe 3 mwezi Juni.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...